Bocil Celebs Leaked Onlyfans Leaked Onlyfans Leaked Onlyfans Leaked кыздар нет

Ko sibana libolo na masoko na likata

BIASHARA ZENYE UHAKIKA WA SOKO NA MZUNGUKO MKUBWA. . Biashara ya chakula. Ina uhitaji mkubwa, kikubwa ujue aina ya wateja na uweke sehemu sahihi. . Biashara ya matunda. . Biashara ya vinjwaji. Juice, maji maeneo ya joto na stend, soda, wine Mpaka vile vikali. . Biashara ya nguo za mtumba. Kwa Ilala boma utapata hata zile za 500, _2000 unazoweza kuuza kwenye masoko na minaidani. . Biashara ya vifaa vya ujenzi ( hii hasa miji inayokua) . Biashara ya nguo za ndani zina uhakika wa soko. Chimbo La uh
Habari za kuhemea Wapendwa wangu?😂 Hivi vitu nimevipata kwenye gulio la Boko California ambalo hufanyika kila Jumanne. Kuna mkaka huwa ana hizi herbs na mboga mboga mbali mbali pale Maliasili, barabarani kabisa kabla ya kituo cha California. Maeneo mengine ninayojua ratiba zake za gulio ni: Kibamba - Jumatano Bunju Sokoni - Alhamisi Kunduchi - Ijumaa Madale - Jumamosi Goba - Jumapili Madale - Jumapili Mtanisahihisha kama nimekosea😊 ila kama una machimbo mengine ukiachana na masoko makubwa, tuj
Kuchagua eneo linalofaa kwa biashara ni hatua muhimu kwa mafanikio ya biashara yako. Maeneo yanayofaa yanategemea aina ya biashara unayotaka kuanzisha, lakini kwa ujumla, yafuatayo ni baadhi ya vigezo vya kuzingatia: 1. Maeneo yenye watu wengi (High Traffic Areas) Masoko na vituo vya biashara: Kama Kariakoo (Dar es Salaam), Soko Kuu (Arusha), au Soko la Mwanjelwa (Mbeya). Vituo vya mabasi au stendi za magari: Sehemu kama Ubungo Bus Terminal au maeneo mengine yenye wasafiri wengi yanaweza kuvutia